Monday, April 18, 2005

kesho

to ndesanjo..

Shikamoo, mwalimu.

Habari za asabuhi?

Kesho, mama yangu atanisafiri. Anaitwa Patt na natoka Florida. Kwa hivyo, sitakwenda darasani. Samahani. Nitasoma sana kiswahili!

Nina furaha!

Wednesday, April 13, 2005

read about SIT in Mombasa

http://www.nationmedia.com/coastexpress/current/Relax/Relax1.htm

my exciting life

asabuhi...

Huwa ninaamka sa moja na nusu. Halafu ninakula chamshakinya sa mbili. Ninaendesha gari yangu (?) kazini sa mbili na robo. Ninafanya kazi sa mbili na nusu.

jioni...
Jumanne na alhamisi ninakwenda darasani sa kumi na mbili na nusu. kila jioni ninapenda kusikilileza muziki.

Tuesday, April 12, 2005

yawn

habari za mchana?

leo mchana ninachoka kazi! ninataka kukwenda nyumbani na kulala kitandani.

Thursday, April 07, 2005

more random things about me

Nimesoma maendelo endelevy na haki za jamii. Ninafanya kazi elimu ya kimataifa.
Ninatoka kusema Kiswahili.
Jason, kaka yangu, anafanya kazi Broward Community College. Nancy, bibi yangu, anafanya kazi Whole Foods Market. Patricia, mama yangu, anafanya kazi Jones, Lang, na LaSalle.

catching up

Leo mchana niliandika sana Kiswahili. Jana jioni siliandika Kiswahili!

Wednesday, April 06, 2005

new things

Ninasikiaje? Ninasikia choka.

Kesho asabuhi nikiamka kunywa chai. Ninapenda chai! Nikinywa chai, kuendesha.